Doa - Kithaka Wa Mberia - Grāmatas - Marimba Publications - 9789966794420 - 2018. gada 7. septembris
Ja vāks un nosaukums nesakrīt, pareizs ir nosaukums

Doa

Cena
€ 28,49

Pasūtīts no attālās noliktavas

Paredzamā piegāde . gada 17. - 31. jūl.
Saņemiet paziņojumus par jauniem Kithaka Wa Mberia izdevumiem
Pievienot savam iMusic vēlmju sarakstam

Not rated yet

Profesa Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu cha Nairobi, Nairobi, Kenya. Mbali na kufundisha na kufanya utafiti, anajishughulisha na uandishi wa mashairi na tamthilia. Tamthilia yake maarufu iitwayo Kifo Kisimani ilikuwa kitabu cha lazima katika mtihani wa kidato cha nne nchini Kenya kuanzia 2006 hadi 2012. Tamthilia yake nyingine iitwayo Natala ilikuwa kitabu cha kutahiniwa katika vyuo vya walimu, pia nchini Kenya, kuanzia 2005 hadi 2016. Mwandishi amewahi kukariri mashairi yake katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na Kenya, Tanzania, Iran, Marekani, US Virgin Islands, United Arab Emirates, Upolanzi, Ujerumani na Italia.

Mbali na Doa, Kifo Kisimani na Natala, Profesa Kithaka wa Mberia amechapisha vitabu vingine ambavyo ni Mchezo wa Karata (mashairi), Bara Jingine (mashairi), Redio na Mwezi (mashairi), Msimu wa Tisa (mashairi), Rangi ya Anga (mashairi) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (tamthilia). Diwani nyingine zake mbili za mashairi, Mvumo wa Helikopta na Bustani ya Miungu (huenda vichwa hivi vikabadilkika), zinatarajiwa kuchapishwa mwaka

huu na mwaka ujao mtawalia.

Mediji Grāmatas     Paperback Book   (Grāmata ar mīksto vāku un līmēto muguru)
Izlaists 2018. gada 7. septembris
ISBN13 9789966794420
Izdevēji Marimba Publications
Lapas 130
Izmēri 127 × 178 × 8 mm   ·   108 g
Valoda Swahili  

Vairāk no Kithaka Wa Mberia

Rādīt visu

Mere med samme udgiver