Mvumo wa Helikopta - Kithaka Wa Mberia - Grāmatas - Marimba Publications - 9789789966400 - 2019. gada 13. novembris
Ja vāks un nosaukums nesakrīt, pareizs ir nosaukums

Mvumo wa Helikopta

Cena
€ 26,99

Pasūtīts no attālās noliktavas

Paredzamā piegāde . gada 28. aug. - . gada 11. sept.
Saņemiet paziņojumus par jauniem Kithaka Wa Mberia izdevumiem
Pievienot savam iMusic vēlmju sarakstam

Not rated yet

Prof. Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu cha Nairobi, Nairobi, Kenya. Amewahi kufundisha Virginia State University, Marekani, kama Fulbright Scholar-in-Residence; University of Warsaw, Upolanzi; na hivi sasa anafundisha Hankuk University of Foreign Studies, Korea Kusini.

Katika uandishi, Prof. Kithaka wa Mberia anajishughulisha na ushairi na tamthilia. Tamthilia yake maarufu iitwayo Kifo Kisimani ilikuwa kitabu cha lazima katika mtihani wa kidato cha nne nchini Kenya kuanzia 2006 hadi 2012. Tamthilia yake nyingine iitwayo Natala ilikuwa kitabu cha kutahiniwa katika vyuo vya walimu, pia nchini Kenya, kuanzia 2005 hadi 2016. Mwandishi amewahi kukariri mashairi yake katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na Kenya, Tanzania, Iran, Marekani, US Virgin Islands, United Arab Emirates, Upolanzi, Ujerumani na Italia.

Mbali na Mvumo wa Helikopta, Kifo Kisimani na Natala, Prof. Kithaka wa Mberia amechapisha vitabu vingine ambavyo ni Mchezo wa Karata (mashairi), Bara Jingine (mashairi), Redio na Mwezi (mashairi), Msimu wa Tisa (mashairi), Rangi ya Anga (mashairi), Doa (shairi) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (tamthilia).

Mediji Grāmatas     Paperback Book   (Grāmata ar mīksto vāku un līmēto muguru)
Izlaists 2019. gada 13. novembris
ISBN13 9789789966400
Izdevēji Marimba Publications
Lapas 94
Izmēri 127 × 178 × 6 mm   ·   81 g
Valoda Swahili  

Vairāk no Kithaka Wa Mberia

Rādīt visu

Vairāk no tā paša izdevēja