Kazi Za Christopher Mwashinga, Juzuu YA III - Jr Christopher Mwashinga - Grāmatas -  - 9798665080109 - 2020. gada 12. jūlijs
Ja vāks un nosaukums nesakrīt, pareizs ir nosaukums

Kazi Za Christopher Mwashinga, Juzuu YA III

Cena
€ 28,49

Pasūtīts no attālās noliktavas

Paredzamā piegāde . gada 23. sept. - . gada 7. okt.
Saņemiet paziņojumus par jauniem Jr Christopher Mwashinga izdevumiem
Pievienot savam iMusic vēlmju sarakstam

Not rated yet

Mfululizo huu wa Kazi za Christopher Mwashinga una lengo la kuwafikia wasomaji wa lugha ya Kiswahili kila mahali lugha ya hiyo adhimu inapotumika. Christopher R. Mwashinga alianza kuandika kazi mbalimbali kwa lugha ya Kiswahili mwanzoni mwa miaka ya 1980. Toleo hili la mfululizo wa kazi zake za Kiswahili, linahusisha mashairi, barua na maandiko yake mengine, ikiwa ni pamoja na kazi zake za kisomi na kitaaluma zilizowahi kuchapishwa kwa Kiswahili katika vitabu, magazeti, na majarida mbalimbali. Aidha mradi huu unahusisha pia kazi zake zilizotafsiriwa toka lugha ya Kiingereza. Miongoni mwa mambo mengine, maandiko yake yaliyowekwa katika majuzuu haya yamehifadhi maarifa na historia ya muhimu inayoihusu jamii yote kwa ujumla, na kwa namna ya kipekee, jamii ya Kikristo, hasa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Baadhi ya mambo yaliyomo katika majuzuu haya, hayajarekodiwa mahali pengine popote katika historia ya watu wa Afrika Mashariki. Ukweli huu unafanya mfululizo huu wa machapisho yake uwe wa muhimu sana katika kazi za wenyeji wa Bara la Afrika zilizochapishwa katika miongo ya hivi karibuni. Juzuu hii ya tatu inahusisha mashairi yake yaliyoandikwa katika miongo miwili ya kwanza ya karne ya ishirini na moja (2001-2020). Mashairi haya yaliandikwa katika mabara manne: Afrika, Asia, Amerika ya Kaskazini na Ulaya.

Mediji Grāmatas     Paperback Book   (Grāmata ar mīksto vāku un līmēto muguru)
Izlaists 2020. gada 12. jūlijs
ISBN13 9798665080109
Lapas 646
Izmēri 140 × 216 × 33 mm   ·   734 g
Valoda Angļu  

Vairāk no Jr Christopher Mwashinga

Rādīt visu