Pastāsti draugiem par šo preci:
Dimbwi la Damu Ben R Mtobwa
Do you have a profile? Pierakstīties
Saņemiet paziņojumus par jauniem Ben R Mtobwa izdevumiem
Pievienot savam iMusic vēlmju sarakstam
Dimbwi la Damu
Ben R Mtobwa
Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.
Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua...
| Mediji | Grāmatas Paperback Book (Grāmata ar mīksto vāku un līmēto muguru) |
| Izlaists | 1984. gada 16. maijs |
| ISBN13 | 9789966561541 |
| Izdevēji | East African Educational Publishers |
| Lapas | 104 |
| Izmēri | 127 × 178 × 7 mm · 86 g |
| Valoda | Swahili |