Pastāsti draugiem par šo preci:
Kuwajali Wanao Watunza Dr Roy W Harris
Kuwajali Wanao Watunza
Dr Roy W Harris
Ambayo mkee wake ameyapitia. Nikawaza, kuna wengine wengi wanao jail ambao wanaitaji kusikia habari hii. Niluifurahia sana nilipo pata habari na pia kitabu ca kwanza cha kujali wanao kutunza. Lilipo ansa tu kukisoma kitabu hicho, nisingeliweza kukiweka chini kitabu hici ni lazima kwa kila anaye watunza wengine, mchungaji, mwenyekiti, mhelekezi, mhudumu wqa Afya, na yeyote Yule anaye hitaji ufahamu zaidi kuhusu jinsi ya kusaidia na kuwatia moyo wanaowatunza. Asande sana ROY Watu wengi watasaidika na kutiwa moyo nna kitabu hichi. - Dr. Stan Toler alitumika kama muhudumu wa jumla kama suparitendant kanisa la NAZAREENI NA KAMA MCUNGAJI WA KULE Ohio, Florida, Tennessee, na pia oklaoma. Dr Tolaer ameviandika vitabu zaidi ya miamoja vikiuzwa zaidi ya miolioni 3 Ulimwenguni.
| Mediji | Grāmatas Paperback Book (Grāmata ar mīksto vāku un līmēto muguru) |
| Izlaists | 2018. gada 14. septembris |
| ISBN13 | 9781947759053 |
| Izdevēji | Rhmpublications |
| Lapas | 124 |
| Izmēri | 127 × 203 × 7 mm · 131 g |
| Valoda | Swahili |
Vairāk no Dr Roy W Harris
Rādīt visuVairāk no tā paša izdevēja
Skatīt visus Dr Roy W Harris ( piem., Paperback Book )