Karamu Ya Arusi Ya Mwana Kondoo - Susan Davis - Grāmatas - Createspace - 9781494860707 - 2013. gada 31. decembris
Ja vāks un nosaukums nesakrīt, pareizs ir nosaukums

Karamu Ya Arusi Ya Mwana Kondoo

Cena
€ 14,49

Pasūtīts no attālās noliktavas

Paredzamā piegāde . gada 7. - 21. aug.
Saņemiet paziņojumus par jauniem Susan Davis izdevumiem
Pievienot savam iMusic vēlmju sarakstam

Not rated yet

Publisher Marketing: Language: Swahili, Lugha: Kiswahili Kitabu hiki kina maneno ya unabii kutoka kwa Yesu KUHUSU HIVI KARIBUNI UNYAKUO. Baadhi ya vichwa SURA katika kitabu hiki: Unyenyekevu, msamaha, kuishi katika dunia, lakini si kuwa "Kati ya Dunia," Rapture na karamu ya arusi ya Mwanakondoo, kujiandaa kwa ajili ya Unyakuo, Tamaa Kwa Dunia, Viongozi Je, huwezi kunifuata, kufanya maandalizi, Acha kupambana na kila mengine, mimi si kuchukua wewe kama una asiyetubu dhambi, milele yako ni Mizani, wachache sana wananiabudu Mimi, wala Tubuni kwangu, mimi Wanataka nafasi ya kwanza Au No Place, kuna dhiki kuu ijayo, wengi ambao wanadhani wenyewe tayari wanajidanganya wenyewe, una thamani kidogo wakati iliyobaki. Maneno ya unabii kutoka kwa Yesu kuhusu ndoa Karamu ya Mwana Kondoo: Kutakuwa na vitu vingi vyema sana mbele kwa wanangu watakaonyakuliwa. Acheni niwaonyeshe kidogo tu vile itavyokuwa: Wanangu watakapofika, watalakiwa na wapendwa wao: familia na marafiki wale tayari wako mbinguni. Nitakuwa nikiwatazama. Huu utakuwa wakati wa utukufu mkuu. Ni tunu ilioje kuungana na familia ulioikosa muda mrefu! Kisha wanangu watapelekwa hadi kwenye karamu ya arusi ya Mwana Kondoo. Nitawaongoza kwenye karamu hii. Meza itaandaliwa kwa vitu tele. Vikorokoro vyote vitakuwako. Kila jambo kuhusu karamu hii litakuwa la kuwastaajabisha. Wanangu watakaa katika sehemu iliyoandaliwa kila mmoja wao na majina yao yatakuwa yameandikwa kwenye sehemu hiyo kwa dhahabu. Vyombo vyote vitakuwa vya dhahabu vilivyopambwa na vito. Kitambaa cha mezani kutakuwa cha hariri, na nyuzi za dhahabu. Nuru itang'aa na vikombe vyote vitakuwa vya dhahabu vilivyolainishwa na vito ukingoni. Kutakuwa na zawadi kwa kila mmoja pahali watakapoketi. Zawadi hii itakuwa ni kumbusho la uhusiano wangu na huyo mwanangu. Kila zawadi itatofautiana na nyingine. Kila zawadi itakuwa na maana yake kwa kila mwana kuonyesa uhusiano wangu naye. Kutakuwa na vitu vingi vya kustaajabisha siku hiyo - siku ya karamu ya arusi yangu. Contributor Bio:  Davis, Susan Susan Davis is Senior Lecturer at Central Queensland University, Australia.

Mediji Grāmatas     Paperback Book   (Grāmata ar mīksto vāku un līmēto muguru)
Izlaists 2013. gada 31. decembris
ISBN13 9781494860707
Izdevēji Createspace
Lapas 132
Izmēri 152 × 229 × 7 mm   ·   185 g

Vairāk no Susan Davis

Rādīt visu